Chama cha Washereheshaji wa sherehe mbalimbali nchini, Sherehe Arts Association (SAA) mwishoni mwa wiki iliyopita kilisherehekea sherehe za miaka 50 ya Uhuru kwa kuandaa hafla pamoja na wazee walioko kwenye ndoa kwa muda wa miaka 50 sasa. Sherehe hiyo, ambayo iliongozwa na MC mkongwe na Mlezi wa chama hicho, Mzee Mdachi, ilifanyika kwenye ukumbi wa Lamada Hotel iliyopo ILALA jijini Dar es salaam na kudhaminiwa na TBL kupitia kinywaji chake cha Konyagi.
KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
No comments:
Post a Comment