Nafasi Ya Matangazo

July 25, 2011

Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo (kushoto) akipokea hundi cheki ya gawio la shilingi bilioni 5.7 kutoka kwa viongozi wa Benki ya NMB waliotoa jana (leo) jijini Dar es salaam  kwa Serikali. Wengine ni Mtendaji Mkuu wa NMB(CEO) Mark Wiessing(katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya  Benki ya NMB Misheck Ngatunga(kulia).
 Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo (kushoto) akiongea na waandishi wa habari jana(leo) jijini Dar es salaam mara ya kupokea hundi ya gawio la shilingi bilioni 5.7 kutoka kwa viongozi wa Benki ya NMB waliotoa kwa Serikali. Wengine ni Mtendaji Mkuu wa NMB(CEO) Mark Wiessing(kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya  Benki ya NMB Misheck Ngatunga(katikati).
Posted by MROKI On Monday, July 25, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo