KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 25, 2011
NMB yatoa Gawio la Tsh Bilioni 5.7 kwa Serikali
Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo (kushoto) akipokea hundi cheki ya gawio la shilingi bilioni 5.7 kutoka kwa viongozi wa Benki ya NMB waliotoa jana (leo) jijini Dar es salaam kwa Serikali. Wengine ni Mtendaji Mkuu wa NMB(CEO) Mark Wiessing(katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB Misheck Ngatunga(kulia). Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo (kushoto) akiongea na waandishi wa habari jana(leo) jijini Dar es salaam mara ya kupokea hundi ya gawio la shilingi bilioni 5.7 kutoka kwa viongozi wa Benki ya NMB waliotoa kwa Serikali. Wengine ni Mtendaji Mkuu wa NMB(CEO) Mark Wiessing(kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB Misheck Ngatunga(katikati).

No comments:
Post a Comment