Nafasi Ya Matangazo

May 16, 2015

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa shirika hilo kutoka ofisi ya mkoa wa Temeke.
Meneja Kiongozi mpya wa Ofisi ya NSSF Mkoa wa Temeke, Chedrick Komba akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa NSSF.
 Mstaafu wa NSSF, Brahan Newa kutoka Kitengo cha Takwimu akisalimiana na mstaafu mwenzake, aliyekuwa Meneja Kiongozi, Ofisi ya NSSF mkoa wa Temeke, Yahya Mhamali wakati wa hafla ya kuwaaga iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
 Maofisa wa NSSF wakiwa katika hafla hiyo.
 aliyekuwa Meneja Kiongozi wa Ofisi hiyo, Yahya Mhamali wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa NSSF ofisi ya mkoa wa Temeke.
Ofisa Mafao mstaafu wa NSSF, Margaret Mahege aakitoa neno la shukrani wakati wa hafla hyo.
Mstaafu Kitengo cha Takwimu NSSF, Brahan Newa akitoa shikrani zake wakati wa hafla hiyo. 
Ofisa Matekelezo mstaafu wa NSSF, Mohamed Kilumike akiwashukuru wafanyakazi wenzake kwa ushirikia wao wakati akiwa kazini. 
 Maofisa Waandamizi wa NSSF wakiwa katika hafla hiyo.
Kutoka kushoto ni, Brahan New, Margaret Mahege na Yahya Mhamali wakikata keki wakati wa hafla ya kuwaaga.
Yahya Mhamali akilishwa keki wakati wa hafla ya kuwaaga wafanyakazi wa NSSF ofisi ya mkoa wa Temeke.
Margaret Mahege akilishwa keki.
Abrahan Newa akilishwa keki.
Picha ya pamoja. 
Maofisa wa NSSF.
Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF ofisi ya mkoa wa Temeke.
Shukurani Masima (kushoto), Ummy Kimario wakifungua Shampeni.
Wastaafu wakitakiwa afya njema na maisha marefu.
 Cheers
 Cheers
 Ofisa Mafao mstaafu wa NSSF, Margaret Mahege aakitoa neno la shukrani wakati wa hafla hyo. PICHA ZAIDI FK MATUKIO
Posted by MROKI On Saturday, May 16, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo