Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Laurence Masha akimkabidhi bendera ya taifa Miss Sumsong Tanzania India, Richa Adhia ambaye anataraji kwenda nchini Afrika ya Kusini kesho kushiriki shindano la Miss Dunia India baadae mwezi huu.Katikati ni Sati Gadvi mmoja wa waratibu wa shindano hilo.
0 comments:
Post a Comment