Mbunge wa Same Mashariki alivyolilia wapika kura wake GohaMbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela akilia kwa uchungu juzi baada ya kufika kijiji cha Goha kulipo tokea maporomoko na kuuwa watu 24 Wilayani Same. Anne Kilango akitembezwa katika eneo la maafa kijiji cha Goha Kitongoji cha Manka.
November 17, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kaka watu wanajua kutafuta kura!
ReplyDeleteAnalia!
Wakati wa kampeni nasikia huwa wanaamkiaga mpaka watoto wadogo hao. 'Shkamoo mwanangu.' KhaaH
acha majungu wewe...unjuaje kama halii kweli
ReplyDelete