Hongera sana Mheshimiwa Rais... Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akimpa mkono wa pongezi Rais wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume baada ya kutunukiwa Sahada yake ya heshima ya Uzamifu kutoka Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Herbert Kairuki Dar es Salaam katika mahafali ya 7 ya chuo hicho.
November 15, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment