Nafasi Ya Matangazo

November 15, 2009

Hongera sana Mheshimiwa Rais... Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akimpa mkono wa pongezi Rais wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume baada ya kutunukiwa Sahada yake ya heshima ya Uzamifu kutoka Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Herbert Kairuki Dar es Salaam katika mahafali ya 7 ya chuo hicho.
Posted by MROKI On Sunday, November 15, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo