Tume ya Madini kwa mara nyingine imeibuka Mshindi wa Kwanza kwenye Kundi la Taasisi Wezeshi za Serikali katika Sekta ya Madini kwenye Maonesho ya Saba ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yaliyofanyika Geita na kukabidhiwa tuzo na Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde.
Posted by MROKI
On Saturday, October 12, 2024
No comments
0 comments:
Post a Comment