October 12, 2024

TUME YA MADINI YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KWENYE MAONESHO YA MADINI GEITA

Tume ya Madini kwa mara nyingine imeibuka Mshindi wa Kwanza kwenye Kundi la Taasisi Wezeshi za Serikali katika Sekta ya Madini kwenye Maonesho ya Saba  ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini  yaliyofanyika Geita na kukabidhiwa tuzo na Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde.



No comments:

Post a Comment