Nafasi Ya Matangazo

September 12, 2016

 Meneja Habari na Mawasiliano wa kampuni ya simu ya Zantel, Winnes Lyaro (katikati) akikabidhi mbuzi mmoja wa washindi wa shindano la jibwage na mbuzi, Ahmad ali Salehe kwaajili ya kusherehekea Sikukuu ya Idd El Hajj, Dar es Salaam juzi.
Meneja Habari na Mawasiliano wa kampuni ya simu ya Zantel, Winnes Lyaro (kushoto) akikabidhi mbuzi mmoja wa washindi wa shindano la jibwage na mbuzi, Ahmad ali Salehe kwaajili ya kusherehekea Sikukuu ya Idd El Hajj, Dar es Salaam juzi. 

Kampuni ya simu ya ZANTEL yafikia kilele cha Jibwage na mbuzi kwa kuwazawadia wateja wake walioshiriki promosheni hiyo jumla ya mbuzi 400 pamoja na kutoa mbuzi 100 katika vituo mbali mbali vya watoto Yatima nchini.

Mkurugenzi wa mauzo wa Zantel, Ibrahim Attas (kulia) akikabidhi mbuzi kwa mshindi, Aly Rashid jana.

 Mbuzi wanaosubiri kuchukuliwa na wateja waliopata ushindi wa promosheni ya jibwage na mbuzi.



Mkuu wa Zantel Zanzibar, Mohamed Mussa Baucha(wa pili kulia) akikabidhi mbuzi kwa washindi wa promosheni ya jibwage na mbuzi.
Posted by MROKI On Monday, September 12, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo