Nafasi Ya Matangazo

July 18, 2011

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya PeopleShome ya Ujerumani, Bwana  Ulrich Kretzschmar kabla ya Mazungumzo yao, Ofisini  kwake, Bungeni Mjini Dodoma  Julai 18, 2011.Kampuni hiyo inaangalia uwezekano wa kuwekeza katika Nishati Endelevu nchini. Katikati ni   mwenyeji wa mbunge wa Kigoma  Kaskazini, Zitto Kabwe.
Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na  Mbunge  wa Ukonga, Eugen Mwaiposa  (kulia ) na Mbunge wa  Viti Maalum Al Shaymaa Kwegyir kwenye jengo la utawala wa Bunge Mjini Dodoma Julai  18, 2011.
Posted by MROKI On Monday, July 18, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo