KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 18, 2011
Waziri Mkuu Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya PeopleShome ya Ujerumani, Bwana Ulrich Kretzschmar kabla ya Mazungumzo yao, Ofisini kwake, Bungeni Mjini Dodoma Julai 18, 2011.Kampuni hiyo inaangalia uwezekano wa kuwekeza katika Nishati Endelevu nchini. Katikati ni mwenyeji wa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunge wa Ukonga, Eugen Mwaiposa (kulia ) na Mbunge wa Viti Maalum Al Shaymaa Kwegyir kwenye jengo la utawala wa Bunge Mjini Dodoma Julai 18, 2011.
No comments:
Post a Comment