Rachel kutoka THT akitumbuiza katika tamasha la Serengeti Fiesta mjini Arusha hii leo
Mashabiki waliopenda kucheza walicheza
Hawa ni wakongwe wasiochuja Mandojo na Domokaya
walipagawisha vilivyo.
Msanii Bele 9 kutoka safu za milima ya Uluguru Mkoani Morogoro mji kasoro Bahari nae alipanda hivi punde na kutikisa.
Msanii Nick II akiimba katika tamasha lka Fiesta Arusha
Diamond "Rais wa Wasafi" na timu yake ikishambulia jukwaa kwa staili yake
Diamond akiimba jukwaani muda si mrefu.
Huyu ni Presenter lakini ameamua kuimba na kamuziki kidogo anaitwa Adam Mchomvu a.k.a Baba Johnii!! ndio kibao chake anachotamba nacho kwa sasa swaga yake ya Arusha.
walipagawisha vilivyo.
Msanii Bele 9 kutoka safu za milima ya Uluguru Mkoani Morogoro mji kasoro Bahari nae alipanda hivi punde na kutikisa.
Msanii Nick II akiimba katika tamasha lka Fiesta Arusha
Diamond "Rais wa Wasafi" na timu yake ikishambulia jukwaa kwa staili yake
Diamond akiimba jukwaani muda si mrefu.
Huyu ni Presenter lakini ameamua kuimba na kamuziki kidogo anaitwa Adam Mchomvu a.k.a Baba Johnii!! ndio kibao chake anachotamba nacho kwa sasa swaga yake ya Arusha.




0 comments:
Post a Comment