Mlima Kilimanjaro ukionekana kwa mbali nyakati za mchana huku theluji ikiwa imepungua kwa kiasi kibwa jambo ammbalo linaufanya mkoa wa Kilimanjaro hasa mji wa Moshi kuwa na hali ya hewa ya joto tofauti na miaka ya nyuma ambapo Moshi huwa na baridi kali mwezi kama huu sambamba na mikoa ya Arusha na Manyara iliyopo Kanda ya Kaskazini.
July 19, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment