Nafasi Ya Matangazo

July 22, 2011

 Mnara wa Mashujaa ulipo Mkoani Morogoro karibu na Ofisi za Posta
 mwanamke Fundi rangi mkazi wa Manispaa ya Morogoro akipaka rangi mnara wa mashujaa mjini Morogoro leo.
Fundi huyu aligoma katakata kutaja jina lake.
Posted by MROKI On Friday, July 22, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo