KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 22, 2011
Maandalizi Siku ya Mashujaa na X-Mass 50 za Uhuru
Mnara wa Mashujaa ulipo Mkoani Morogoro karibu na Ofisi za Posta
mwanamke Fundi rangi mkazi wa Manispaa ya Morogoro akipaka rangi mnara wa mashujaa mjini Morogoro leo.
No comments:
Post a Comment