Nafasi Ya Matangazo

July 16, 2011

Wabunge wa mkoa wa Mbeya, Sitta na Nyarandu wakimuongoza Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye kuingia uwanja wa Rwandanzovwe mjini Mbeya kwenye mkutano wa hadhara
Nape akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Rwandanzovwe mjini Mbeya
Mwenyekiti wa Wabunge wa mkoa wa Mbeya, Prof Mwakyusa akizungumza. Kushoto ni Nape
Sitta akihutubia katika mkutano huo
Mwakyembe akihutubia kwenye mkutano huo
Nape akimkaribisha  Mwenyekiti wa Mtandaano wa Chadema wa wanataaluma Prince  Mwaihoja
Nape akicharaza gita wakati wa mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Rwandanzovwe mjini Mbeya
 
 Ole Sendeka nae alimwaga cheche
Mjumbe wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akihutubia
Posted by MROKI On Saturday, July 16, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo