Nafasi Ya Matangazo

September 22, 2009

Mkurugenzi Mtendaji wa Zain Tanzania, Khaled Muhtadi (kushoto) akikabidhi tuzo ya cheti kwa Msimamizi wa Huduma kwa Wateja wa Zain, Belinda Kivuyo (kulia) ikiwa ni kumtambua kama mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo waliofanya vizuri zaidi katika robo ya tatu ya mwaka 2009. Hafla hiyo ilyofanyika wiki hii jijini Dar es Salaam iliandaliwa na Zain Tanzania kwaajili ya kuwazawadia wafanyakazi wake waliofanya vizuri zaidi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Zain Tanzania, Khaled Muhtadi (kushoto) akikabidhi tuzo ya cheti kwa mfanyakazi wa Zain, Dickson Casmir (kulia) ikiwa ni kumtambua kama mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo waliofanya vizuri zaidi katika robo ya tatu ya mwaka 2009. Hafla hiyo ilyofanyika hivi wiki hii jijini Dar es Salaam iliandaliwa na Zain Tanzania kwa ajili ya kuwazawadia wafanyakazi wake waliofanya vizuri zaidi.
Posted by MROKI On Tuesday, September 22, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo