Nafasi Ya Matangazo

October 02, 2017

SHIRIKA la ndege la Precision Air (PW) jana lilizindua safari zake za Serengeti mkoani Mara, kupitia Uwanja wa Ndege wa Arusha.

Uwepo wa safari hizo za ndege utasaidia usafirishaji wa watalii kutoka nchi mbalimbali duniani na ndani ya Tanzania kutembelea hifadhi ya Serengeti kirahisi jambo ambalo litachangia ukuaji wa uchumi nchini.
Pichani juu ni Wafanyakazi wa Ndege ya PrecisionAir na abiria  wakishuka katika Ndege kwenye Uwanja wa Seronera jana walipozindua safari za Viwanja vya  Dar es Salaam-Arusha - Serengeti.
  Wafanyakazi wa Ndege ya PrecisionAir wakishuka katika Ndege kwenye Uwanja wa Seronera jana.
 Wafanyakazi wa Ndege ya PrecisionAir wakivinjari katika Uwanja wa Seronera jana.
 Wafanyakazi wa Ndege ya Precision Air wakiwa katika Uwanja wa Seronera.
 Wafanyakazi wa Ndege ya PrecisionAir wakiwa katika picha ya pamoja katika uwanja wa Seronera.
 Wafanyakazi wa Ndege ya PrecisionAir wakiwa katika picha ya pamoja katika uwanja wa Seronera.
 Ndege ya PrecisionAir ikiwa katika Ofisi za Uwanja wa ndege wa Seronera. 
Posted by MROKI On Monday, October 02, 2017 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo