Nafasi Ya Matangazo

January 07, 2017

Timu ya soka ya Yanga ya Dar es Salaam, imebugizwa mabao 4-0 na Vijana wa Chamazi, Azam Fc kwenye pambano la kukata na mundu la michuano ya kombe la Mapinduzi kwenye uwanja wa A man mjini Unguja usiku huu Januari 7, 2017.
 

Reactions:
Posted by MROKI On Saturday, January 07, 2017 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo