Nafasi Ya Matangazo

July 18, 2015



Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Gabriel Munasa (kulia) akipokea fomu ya kuomba ridhaa ya wana CCM Kinondoni kugombea Ubunge jimbo la Kawe katika uchaguzi wa Oktoba 25 mwaka huu. Anae mkabidhi fomu hiyo ni Katibu wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Atuman Shesha.
Posted by MROKI On Saturday, July 18, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo