Nafasi Ya Matangazo

July 07, 2015


 Wateja wakipatiwa Huduma katika Banda la Benki ya Posta.
 BAADHI ya Wananchi wakikodolea macho huduma zinazotolewa na Benki ya Posta.
 WAKIJISAJILI kuwa na akaunti katika Benki hiyo.
 WAKIJISAJILI kuwa wateja katika Benki hiyo.
MAOFISA  Mauzo wa Benki ya Posta,Olida Mwakunja (wa tatu kushoto) na Wistone Daniel (wa pili kulia) wakitoa huduma kwa wateja waliofika katika Banda kwenye Uwanja wa Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa.
 AFISA wa Benki hiyo akiwa na furaha kwa wateja baada ya kuwahudumia watteja.
 MAAFISA wa benki hiyo  wakimpa maelekezo mteja kutoka Masasi ambaye yupo katika maonesho.
  MAAFISA wa benki hiyo  wakimpa maelekezo mteja kutoka Masasi ambaye yupo katika maonesho
MAOFISA  Mauzo wa Benki ya Posta,Olida Mwakunja (wa pili kushoto) na Wistone Daniel (wa pili kulia) wakitoa huduma kwa wateja waliofika katika Banda kwenye Uwanja wa Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa.
Posted by MROKI On Tuesday, July 07, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo