Nafasi Ya Matangazo

May 18, 2015

 Rais Nyusi anamshukuru Elizabeth kwa maua
 Rais Nyusi akitambulishwa kwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Saidi Mwambungu
 Rais Nyusi akitambulishwa kwa wasaidizi wa Rais

 Rais Kikwete na Mgeni wake wanasimama jukwaa maalumu wakati wa nyimbo za Taifa zikipigwa
 Rais Nyusi anaendelea kukagua gwaride
 Rais Nyusi alakiwa kwa nderemo
 Rais Kikwete akipeana mkono na mgeni wake baada ya mapokezi makubwa
 Rais Kikwete katika mazungumzo rasmi na mgeni wake 
 Rais Nyusi akimkabidhi mwenyeji wake zawadi
 Rais Kikwete na mgeni wake wakiongea kabla ya dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
 Rais Kikwete agonganishwa glasi na mgeni wake wakati wa  dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais Nyusi
 Sehemu ya viongozi mbalimbali
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda (kushoto), Mbunge wa Singida Mhe. Mo Dewji, Mwenyekiti wa Yanga Bw. Yusuf Manji na Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Bw. Godfrey Simbeye
Baadhi ya maafisa wa protokali wa Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa. PICHA ZAIDI FK MATUKIO
Posted by MROKI On Monday, May 18, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo