Nafasi Ya Matangazo

May 05, 2015

Askari wakisaidia kushusha kwenye gari saruji iliyotolewa msaada na Kampuni ya Konyagi ya  Tanzania Distilleries Limited (TDL), kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Polisi Chang'ombe, kitengo cha upelelezi. Hafla ya utoaji wa vifaa vya ujenzi vikiwemo pia mabati, misumari na fedha ya mafundi vilikabidhiwa jana katika kituo hicho kilichopo Temeke, Dar es Salaam.
 Askari wakisaidia kushusha kwenye gari mabati yaliyotolewa msaada na Kampuni ya Konyagi ya  Tanzania Distilleries Limited (TDL), kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Polisi Chang'ombe, kitengo cha upelelezi. Hafla ya utoaji wa vifaa vya ujenzi vikiwemo pia saruji, misumari na fedha ya mafundi vilikabidhiwa jana katika kituo hicho kilichopo Temeke, Dar es Salaam.
 Askari wakisaidia kushusha kwenye gari mabati yaliyotolewa msaada na Kampuni ya Konyagi ya  Tanzania Distilleries Limited (TDL), kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Polisi Chang'ombe, kitengo cha upelelezi. Hafla ya utoaji wa vifaa vya ujenzi vikiwemo pia saruji, misumari na fedha ya mafundi vilikabidhiwa jana katika kituo hicho kilichopo Temeke, Dar es Salaam.
 Inspekta John Mkweru (kushoto) akiangalia msaada wa misumari uliotolewa na Konyagi kwa kituo hicho.
  Mkaguzi wa Hesabu wa Konyagi, Thomas Munema (kulia), akikabidhi MISUMARI YA KENCHI  KWA DEPUTY RCO WA CHANG'OMBE SP RAMADHANI KINGAI
 Mkaguzi wa Hesabu wa Konyagi, Thomas Munema  (kushoto), akimkabidhi nyaraka za msaada huo, Inspekta Philip Bura.
 Mkaguzi wa Hesabu wa Konyagi, Thomas Munema (kushoto), akimkabidhi fedha Inspekta Philip Bura kwa ajili ya  mafundi watakaojenga kituo hicho.
Jengo la ofisi ambalo vifaa hivyo vitatumika kujengea
Posted by MROKI On Tuesday, May 05, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo