Nafasi Ya Matangazo

October 02, 2014

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 2,2014.Picha zote na Othman Michuzi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi akitoa hotuba fupi kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuja kufungua Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 2,2014.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Utalii Tanzania,Balozi Charles Sanga akitoa hotuba yake wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 2,2014.
 
 
 
Sehemu ya Wageni kutoka nchi mbali mbali wakifatilia kwa makini hotuba ya Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 2,2014.
Wadau wakipata taswirazzz
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mkurugenzi wa kanda ya Afrika wa Utalii nchini Afrika Kusini,Bi. Evelyn Mahlaba (nywele nyeupe) wakati wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 2,2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia namna mahindi yanavyosagwa na kupatikana ungwa wakati alipotembelea Banda la Maonyesho ya Utalii la Burundi,kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 2,2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia ngoma ya utamaduni ya Taifa la Burundi alipotembelea Banda la Maonyesho ya Utalii la Burundi,kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 2,2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikifurahia Kibuyu kikubwa alichokikuta kwenye Banda la Utalii la Burundi.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya Utalii kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Bodi ya Utalii Tanzania,Geofrey Tengeneza. 
PICHA ZAIDI BOFYA MTAA KWA MTAA
Posted by MROKI On Thursday, October 02, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo