Nafasi Ya Matangazo

November 06, 2012

Mwandishi wa Habari wa gazeti la Tanzania Daima,Charles Ndagula akiwa amelazwa kwa ajili ya matibabu kwenye hospitali ya St Joseph iliyopo Mjini Moshi baada ya kunusurika kuuawa kwa kugongwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafayabiashara wa kusfirisha sukari ya magendo kwa njia za panya kwenda nchini Kenya, Picha na Rodrick Mushi.
Posted by MROKI On Tuesday, November 06, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo