Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Saidi Mwema akijadiliana na viongozi wa madhehebu ya dini katika ukumbi wa maafisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam walipokutana katika semina ya kujadili kuhusu usalama, amani na utulivu wakati huu nchi inapoelekea katika uchaguzi mkuu mwezi oktoba.
Posted by MROKI
On Wednesday, July 28, 2010
No comments
0 comments:
Post a Comment