Nafasi Ya Matangazo

March 30, 2010

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige mwenye suti nyeusi, akipanda mti katika Shule ya Sekondari ya Town iliyoko mjini Shinyanga,wakati wa sherehe za kuelekea Siku ya Taifa ya kupanda Miti nchini ambayo kitaifa inafanyika Aprili Mosi mkoani Shinyanga, aliyeshika. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki Dkt. Felician Kilahama na Kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Fabian Stanslaus.
Posted by MROKI On Tuesday, March 30, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo