Nafasi Ya Matangazo

July 25, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama kwa ajili ya heshima ya Wimbo wa Taifa na ule wa Afrika Mashariki wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa kwenye Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 25 Julai, 2024. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka silaha za Asili (Mkuki Ngao) na shada la maua kwenye mnara wa Mashujaa wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa. Maadhimisho hayo yamefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo kwenye Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 25 Julai, 2024. 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama kwa ajili ya heshima ya Wimbo wa Taifa na ule wa Afrika Mashariki wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa kwenye Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 25 Julai, 2024. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma kwa ajili ya kushiriki Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa tarehe 25 Julai, 2024


Posted by MROKI On Thursday, July 25, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo