KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
October 08, 2009
Pinda aziacha suti
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Katibi Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Asha Rose Migiro kwenye hoteli ya Intercontinental jijini Geneva ambako walihudhuria Mkutano wa Shirika la Kimayaifa la Mawasiliano Oktoba 7, 2009.
Huyo Pinda ndo ameanza kutekeleza zile sera zake za indonesia za kuvaa batiki? Hongera baba.
ReplyDeleteBado sasa tukuone uko kwenye kiBAJAJI tu.
Keep it up