Nafasi Ya Matangazo

September 24, 2009

Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB Christina Manyenye (kushoto) akimuonyesha Naibu Meya wa Manispaa ya Temeke Noel Kipangule moja ya nyaraka zinazoonyesha matumizi ya kitanda hicho cha kujifungulia wakina mama chenye thamani ya shilingi Milioni 7.8 walichotoa msaada katika Hospital hiyo.(kulia)Mganga Mkuu wa Hospital ya Temeke Asha Mahita.
Posted by MROKI On Thursday, September 24, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo