Lori hili lilikuwa limeegeshwa kando kando ya barabara na kuparamia nyumba hiyo majira ya saa kumi alfajiri na kumuua mtu huyo aliyerkuwa amelala kabla ya kutaka kugonga nyumba nyingine.
Mke wa Marehemu na mtoto wao walikuwa wamekwenda msibani hivyo baba kubaki pekeyake katika nyumba hiyo ya vymba viwili na sebule.
Kijana mwingine ambaye ni kondakta wa daladala maarufu kwa jina la "Chinga" alijeruhiwa
Mini Busshiyo iliyokuwa im,eharibika na kusubiri matengenezo imeharibiwa vibaya na malori hayo kiasi cha kuonekana kuwa iliwahi pinduka.
No comments:
Post a Comment