May 21, 2009

Uwanja mpya uzio wa mabati

Uwepo wa mabati haya kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam unaufanya uwanja huu wa kisasa kupoteza mandhari yake na kuonekana uchafu na si kivutio tena. Wahusika kulikoni mabati haya yasitolewe na ujenzi umekamailika?,

No comments:

Post a Comment