Nafasi Ya Matangazo

September 22, 2008

Mmoja wa maafisa walioko kwenye msafara wa Waziri Mkuu, Bw. Hamisi Kamundu akijaribu kupiga simu kwenye eneo pekee ambalo mtandao wa Vodacom unapatikana katika kijiji cha Mapili wilayani Mpanda kama maandishi ya nyuma yake yanavyoonyesha.
NB: Makampuni ya simu vi[pi mnasema mnasema mpo nchi nzima?
Asante Kamanda Irine Bwire kwa snape hii.
Posted by MROKI On Monday, September 22, 2008 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo