Nafasi Ya Matangazo

September 24, 2008

Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi Lawrence Masha (kushoto) akipanda moja ya pikipiki zilizotolewa na Kampuni ya BlueFinancil ya Jijini Dar es Salaam kwa Polisi, Katikati ni Mwenyekiti wa Kundi la Makampuni ya Synarge Navin Kanabar na kulia ni Mkuu wa Polisi Tanzania (IGP) Saidi Mwema. Makabidhiano hayo yalifanyika jana jijini Dar es Salalaam.
Posted by MROKI On Wednesday, September 24, 2008 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo