KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 12, 2008
Mkulo kuwafurahisha au kuwaliza walalahoi leo
Waziri wa Fedha Mustapha Mkulo leo anakazi ngumu ya kusoma bajeti ya serikali ya mwaka 2008/2009 katika kikao cha tatu cha Bunge katika Mkutano wa 12 unaondelea mjini Dodoma. Je Bajeti hiyo itamlinda mlalahoi?.
No comments:
Post a Comment