KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 12, 2008
Ebwana tusaidiane
Mbunge wa Singida Mjini Mohammed Gulam Dewji (kushoto) akimsikiliza kwa makini Mbunge wa Morogoro Mjini Dk. Omari Mzeru Nibuka nje ya bunge mjini Dodoma alipo kuwa akimweleza jambo.
No comments:
Post a Comment