KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 12, 2008
Endelea kupambana ndugu yangu
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Prof Ibrahim Lipumba akisalimiana na Mbunge wa Monduli na Wziri Mkuu wa Zamani Edward Lowasa walipokutana nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.
No comments:
Post a Comment