Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhwani Kikwete leo ametembelea Ofisi za Wizara_ya_ardhi Dar Es Salaam, na kukagua Mfumo wa Unganishi wa Taarifa za Ardhi (ILMIS), ikiwa ni moja ya ziara zake za kujifunza mambo mbalimbali ya Wizara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment