Mbunge wa Chalinze, Ridhwani Kikwete akikagua baadhi ya barabara zilizoanza kufunguliwa katika Kata ya Bwilingu na Pera. Barabara hizo zitawezesha kufanya urahisi wa mawasiliano katika mji wa Chalinze na vitongoji vyake.
Mbunge Kikwete akimsikiza mkandarasi.
0 comments:
Post a Comment