Nafasi Ya Matangazo

December 01, 2017

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Evaristo Liwa akiwa amemkabidhi cheti cha shukrani mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho aliyefanya vizuri kwenye masomo yake, wakati wa hafla ya kuwakabidhi zawadi wahitimu waliofanya vizuri iliyofanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam Novemba 30 2017. Kushoto ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Taaluma, Profesa Gabriel Kassenga na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Robert Kiunsi. 
Sehemu ya wanafunzi wa chuo Ardhi University wakifuatilia matukio katika hafla ya kukabidhiwa vyeti na zawadi mbalimbali baada ya kufanya vizuri katika masomo kwa mwaka 2017 hafla iliyofanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam Novemba 30 2017. 
Sehemu ya wanafunzi wa chuo Ardhi University wakifuatilia matukio katika hafla ya kukabidhiwa vyeti na zawadi mbalimbali baada ya kufanya vizuri katika masomo kwa mwaka 2017 hafla iliyofanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam Novemba 30 2017. 
Sehemu ya wanafunzi wa chuo Ardhi University wakifuatilia matukio katika hafla ya kukabidhiwa vyeti na zawadi mbalimbali baada ya kufanya vizuri katika masomo kwa mwaka 2017 hafla iliyofanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam Novemba 30 2017.(Imeandaliwa na Robert Okanda Blogs) 
Posted by MROKI On Friday, December 01, 2017 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo