Nafasi Ya Matangazo

September 21, 2016



Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kulia), akifanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata (kushoto), kujadili masuala mbalimbali ya Usimamizi wa Kodi wa kati Waziri huyoa lipotembelea Makao Makuu ya TRA jijini Dar es Salaam Septemba 19, 2016.



Kamish na Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata (kulia), akiagana na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango (kushoto), baada ya Waziri huyo kutembelea Makao Makuu ya TRA jijini Dar es Salaam Septemba 19, 2016, ambapo wawili hao walijadili masuala mbalimbali ya Usimamizi wa Kodi.
Posted by MROKI On Wednesday, September 21, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo