Nafasi Ya Matangazo

October 07, 2015

Rais Jakaya Kikwete na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akisaini kitabu cha maombolezo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila wakati wa kuuaga mwili wa mwanasiasa huyo katika Ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam leo. Mwili huo ulisafirishwa kwenda Ludewa, mkoani Njombe kwa maziko.
 Rais Kikwete akipita kutoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Mch. Mtikila
 Rais Kikwete akiwapa mkono wa pole ndugu Marehemu Mtikila
Rais Jakaya Kikwete akiwa na viomngozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa na Serikali wakati wa kuaga mwili wa Mch. Christopher Mtikila hii leo.
Posted by MROKI On Wednesday, October 07, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo