Nafasi Ya Matangazo

October 07, 2015

Wapendwa watumiaji wa ukurasa wetu wa Facebook na wasikilizaji kwa jumla. Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). 

Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea. 

UTAWALA
Posted by MROKI On Wednesday, October 07, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo