Nafasi Ya Matangazo

September 27, 2015

dickson busagaga & salome mhozya wedding (9)
Dickson Busagaga (Blogger) na Salome Mhozya katika picha baada ya kufunga ndoa iliyowafanya kuungana na kuwa mwili mmoja tukio lililofanyika katika kanisa la Mt. Teresia wa Mtoto Yesu jimbo kuu la Tabora mnamo tarehe 23 Sep, 2015.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (8)
Waharusi (Dickson na Salome) wakionesha pete zao mara baada ya kuungana na kuwa kitu kimoja.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (2)
Hakika ilikuwa ni siku ya furaha sana kwao, hata walipoingia ukumbini katika sherehe ya usiku walidhihirisha kuto kubahatisha kuungana kwao.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (3)
Furaha ilitawala sana miongoni mwao na waalikwa wote.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (4) 
dickson busagaga & salome mhozya wedding (5) 
dickson busagaga & salome mhozya wedding (6)
MC Ndagula katika ubora wake wa kazi.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (7)
ZIFUATAZO NI PICHA ZA SENDOFF ILIYOFANYIKA TAREHE 19/09/2015 ORION(TABORA HOTEL)
Posted by MROKI On Sunday, September 27, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo