Nafasi Ya Matangazo

July 24, 2015

KATIKA kile ambacho kilionejkana ni kama mchezo wa kuigiza, Simba watano walio na njaa walimzingira nyati dume katika mbuga ya Londolizi iliyo jirani na hifadhi ya Kruger nchini Afrika Kusini.


Nyati huyo licha ya wingi huo wa Simba lakini hakusita wala kuwaogopa Simba hao na kupambana vikali hadi waliposhindwa zoezi lao hilo.

 Simba hao wakijaribu kumwangusha Nyati huyo bila mafanikio.
Vita iliebndelea na mwisho Simba waliondoka bila mafanikio.
Posted by MROKI On Friday, July 24, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo