Nafasi Ya Matangazo

July 22, 2015

Mtia nia Msuya akizungumza na wanachma walikokuwa ndabi ya ukumbi wa ofisi za Chama hicho .
Mke wa mtia nia Msuya,akisalimia ndani ya ukumbi huo mara baada ya kutamburishwa.
Mtia nia wa Ubunge,Wakili wa kujitegemea,Msuya akisalimiana na wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi waliofika kumpokea wakati akirejesha fomu za kuwania nafasi hiyo katika jimbo hilo.
Baadhi ya wananchma wa chama cha NCCR -Mageuzi wakiwa ndani ya ukumbi wa ofisi za chama hicho wilayani Mwanga.
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi taifa,Hemed Msabaha akitoa salmau kwa wananchama waliofika katika zoezi hilo.
Baadhi ya wanachama wa chama hicho.
Kutokana na idadi kubwa ya wananchi waliofika katika ofisi hizo kushuhudia zoezi la urejeshwaji wa fomu uliofanywa na mtia nia Msuya ,iliwalazimu wananchi wengine kubaki nje ya ukumbi ambapo mtia nia huyo pia alitoka nje kuwahutubia.
Baadhi ya wananchi waliofika katika kushuhudia zoezi hilo.
Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Mwanga kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi ,Wakili wa kujitegemea ,Youngseier Msuya akikabihi fomu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho jimbo la Mwanga,Marry Msuya.
Mtia nia Msuya akiwa katika picha ya pamoja na viongozi pamoja na wananchi waliofika katika kumsindikiza kurejesha fomu.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Posted by MROKI On Wednesday, July 22, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo