Nafasi Ya Matangazo

June 24, 2015

Baadhi ya wanachama  waliojitokeza kuomba nafasi ya kuwania kuwa wajumbe wa Bodi ya Saccos hiyo wakiwa wameshika karatasi zeneye majina yao.

Secretariety ya mkutano huo wakihesabu kura kwa ajili ya kupata washindi katika uchaguzi huo ambapo Godlisten Kombe alifanikiwa kutetea kiti chake baada ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti huku Kilasela Ngalauo akifanikiwa kushinda nafasi ya makamu mwenyekiti.

Wengine waliochaguli wa ni Chritina Lyamuya,January Malulya,Marcelina Kyara,Robert Shauri na Robert Materu.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini,

Mwenyekiti wa Bodi ya Saccos ya walimu wilaya ya Moshi vijijini,Godlisten Kombe akizungumza wakati wamkutano maalumu wa uchaguzi wa viongozi wa Saccos hiyo pamoja na wajumbe wa bodi.
Baadhi ya wanachama wa Saccos ya walimu wilaya ya Moshi vijijini wakiwa katika mktano huo uliofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara (MUCO).
Meneja mkuu wa Chama cha Akiba na Mikopo cha walimu wilaya ya Moshi Vijijini,Bosco Simba akizungumza wakatiwamkutano huo.
Baadhi ya wanachama wa Saccos hiyo ambao ni walimu wanaofanya kazi wilaya ya Moshi vijijini.
Afisa Ushirika wilaya ya Moshi vijini Fausta Malulya akizungumza katika mkutano huo wa uchaguzi ,
Mmoja wa wanachama wa Saccos hiyo akiomba ufafanuzi wa jambo fulani wakati wa mkutano huo wa uchaguzi.
Posted by MROKI On Wednesday, June 24, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo