Nafasi Ya Matangazo

March 01, 2015

Vijana wa Yamoto Band siku ya 21 February 2015 waliweka Historia katika jiji la London wakiwa ni watanzania wa kwanza kufanya Live show kwenye ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na mamia ya wakaazi wa Jiji la London na vitongoji vyake. video hapo chini ni Kionjo tuu cha mambo yalivyokuwa.


Posted by MROKI On Sunday, March 01, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo