Nafasi Ya Matangazo

February 18, 2015

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Seif Rashid machapisho mbalimbali baada ya kuzindua kongamano la siku mbili la kimataifa la watoto walio katika mazingira hatarishi Dar es Salaam leo. Wa pili kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimkabidhi Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba machapisho hayo.
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki machapisho hayo kwa niaba ya wakuu wote wa mikoa.
Mratibu wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto (Unecef), Mbelwa Gabagambi, akizungumza katika hafla hiyo.
Naibu Mkurugenzi Mkazi wa World Vision, Devocatus Kamara akizungumza na waandishi wa habari.
Mwakilishi wa watoto, Coletha Emanuel kutoka mkoani Shinyanga akisoma hutuba yao mbele ya mgeni rasmi, Makamu wa Rais Dk.Mohamed Gharib Bilal.
Wadau wa maswala ya watoto wakiwa kwenye kongamano hilo.

Posted by MROKI On Wednesday, February 18, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo